• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Watakiwa Kuongeza Kasi ya Ukusanyaji Mapato

Imetumwa : February 13th, 2021

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Dr. Festo Dugange amewatakaMganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kiwanja Mpaka kuhakikisha wanaongeza kasi yaukusanyaji wa mapato na kuanza kufanya ukarabati wa jingo la kituo hicho.

Dr. Festo amesema hayo wakati wa ugawaji wa vifaa tibavilivyotolewa na Shirika la WRP-T Kwa Mikoa ya Mbeya, Songwe,Rukwa na Katavimapema tarehe 13.2.2021 kwenye viwanja vya Kituo cha Afya Kiwanja.

Dr. Dugange amesema ili Kuboresha huduma vituo vya Afya ni lazimavidhibiti ukusanyajo wa mapato yake ili yaweze kutumika kwenye uendeshaji wakituo na sio kusubiria fedha kutoka Serikali kuu.

“Nimeanza kwa kikagua kituo hiki cha Kiwanja Mpaka nimeambiwakuwa makusanyo kwa siku ni shilingi laki tatu ilihali watu wanaotibiwa kwa sikuhapa ni mia tatu kwa hesabu za haraka hataka kituo kinatakiwa kukusanya sichini ya shilingi laki sita kwa siku.

Amesema kuwa bila kutumia akili nyingi utagundua tu kuwa hapamapato yanavuja na nyie mko tu hamna wasiwasi kabisa hatuwezi kwenda hivyo nilazimaMianya hii ya upotevu wa mapato idhibitiwe ipasavyo na mapato yaonekane”alisema.

Aliongeza kuwa “Kituo hiki kiko katikati ya Mji kinatakiwa kiwena hadhi lakini muonekano wake hauvutii Kituo kimechakaa sana majengo chakavuhata rangi mnashindwa kupiga au kufanya ukarabati mdogo mdogo” alihoji Dr.Dugange.

Aliwataka watalaam wa Afya Jijini Mbeya kujitathmini na kuwekamikakati itakayoleta tija katika utoaji wa huduma bora za Afya Jijini humo. Katikakutekeleza maagizo hayo alitoa muda wa miezi miwili kwa wataalam hao wa Afyakuhakikisha kuwa mifumo ya ukusanyaji wa mapato kwenye vituo vyote Jijini Mbeyaunaimarishwa na kuahidi kurudi Mwezi Mei 2021 kukagua utekelezaji wa maagizohayo.

Matangazo

  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Afungua Maonesho ya Nanenane jijini Mbeya

    August 01, 2022
  • RC HOMERA:Usafiri saa 24 kuanza kwa Vibali maalum Mbeya

    June 28, 2022
  • Rc Homera akutana na Ujembe wa Chama cha Madaktari Bingwa wa Upasuaji Tanzania (TSA)

    June 13, 2022
  • Rc Homera akabidhi pikipiki 7 kwa Warajisi wasaidizi Mkoani Mbeya

    June 13, 2022
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.