• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wachimbaji Madini Watakiwa Kuwa Wazalendo

Imetumwa : March 4th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila amemtaka mwekezaji wa machimbo ya malulumalu Bw. Michael Simbaulemi kuwa mzalendo kwa kulinda kwa rasilimali ya madini na kuhakikisha wananchi na serikali wanafaika na madini hayo

Mhe. Chalamila ameyasema hayo leo alipotembelea na kukagua machimbo ya malumalu (malble) yaliyopo Kata ya Itawa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya na kumtaka mwekezaji wa machimbo hayo asaidie katika kuimarisha huduma za jamii za eneo hilo.

“Ni faida kubwa kwa madini kama haya kugundulika hapa kwetu na tuamini baada ya muda taifa litapata fedha nyingi kupitia madini hayo ambazo zitasaidia katika kuimarisha miundombinu ya barabara, afya na elimu”. Mhe Chalamila

Naye Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Mbeya Ndugu Sabai Nyansiri amesema kuwa mwekezaji wa machimbo hayo ni mzawa wa na anan leseni ya uchimbaji mdogomdogo kwa masharti ya kufanya kazi na kuajiri wananchi wa vijiji vinavyozunguka machimbo hayo.

Bw. Nyansiri amemtaka mwekezaji huyo kulinda mazingira ya machimbo hayo na kuongeza ukubwa wa mitaro ili mawe yanayochimbwa yasije kuporomoka na kuleta athari kwa wananchi.

Mwekezaji wa Machimbo hayo Bw. Michael Simbaulemi Amesema kuwa tayari ameshachimba mawe sita ambayo yapo tayari kusafirishwa kwenda Brazili pale taratibu na vibali vitakapokuwa tayari kwa sababu bado Serikali haijaruhsu kusafirisha madinin nje ya nchi.

Bw. Simbaulemi amesema ameajiri vijana kutoka vijiji vilivyopo katika maeneo ya machimbo ingawa baadhi ya wananchi hawataki kufanya kazi katika machimbo

Bw. Simbaulemi ameomba ushirkiano kutoka kwa halmashauri kwa kusema kampuni yake bado ni changa sana na mradi wake umeanza mwezi Aprili ,2017

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC Homera atoa siku 14 Tarura kupata Mkandarasi Mpya

    February 23, 2023
  • WAZIRI DKT MABULA AZINDUA MPANGO KABAMBE WA JIJI LA MBEYA

    February 21, 2023
  • WATOTO 5,236 WAPANGIWA VYUO MBALIMBALI VYA UFUNDI MKOANI MBEYA

    February 06, 2023
  • "Wananchi Tushirikiane kutokomeza ukatili wa Kijinsia" Rc Homera

    December 02, 2022
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa