• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Rc Homera atatua mgogoro wa Ardhi uliodumu kwa miaka miwili

Imetumwa : May 13th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Juma Zuberi Homera amemaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa kipindi cha miaka miwili ukimhusisha bwana Mahenge na Bi Rehema. 

Mgogoro huo ulioleta taswira mpya mara baada ya kutolewa taarifa na vyombo mbalimbali vya habari nchini kuhusiana na malalamiko ya bibi huyo ambeya aliweza kupita katika ofisi mbalimbali za serikali ili kuomba msaada.

Homera amesema chanzo cha mgogoro huo ni Bi Rehema alikuwa analima katika shamba la mzee Mahenge kwa kipindi cha muda mrefu baada ya kuazimwa na Mzee Mahenge ili afanye shughuli zake za kilimo cha mahindi na mazao mengine mbalimbali ambapo baada ya kulitumia shamba hilo kwa muda mrefu ndipo ilipofika kipindi mzee Mahenge alihitaji shamba lake ili aweze kulitumia.

Aidha kwa kipindi hicho Bi Rehema alikuwa tayari ameshapanda mazao yake na akiwa anasubiria ili aweze kuvuna ambapo Mzee Mahenge aliona itachukua muda mrefu na kufyeka mazao hayo ili aweze kulitumia shamba lake na kupelekea uharibifu mkubwa shambani hapo ndipo Bi Rehema alipoamua kuchukua hatua ya kwenda kushitaki sehemu mbalimbali za Serikali ili kuweza kupatiwa msaada.

Pia aliweza kufika Dodoma wakati Mh Rais akihutubia katika mkutano mkubwa wa wazi ambapo aliweza kupata nafasi ya kutoa malalamiko yake na kuomba msaada asaidiwe. Mh Raisi alitoa agizo Bibi huyo asaidiwe ili aweze kupata haki yake ambapo tathmini iliweza kufanyika na Mkoa wa Mbeya na ilionyesha ni Kweli mzee Mahenge alifyeka mazao ya Bibi huyo na kupelekea hasara kubwa.

Homera amemkabidhi Bibi huyo kiasi cha shilingi milioni 13 mbele ya Waandishi wa Habari pamoja na Kamanda na Polisi Mkoa wa Mbeya ambapo Bibi huyo aliweza kwenda kuhifadhi katika Benki.

Amewataka wananchi kuacha mara moja tabia ya kujichukulia sheria mkononi katika jambo lolote na kuwasihi kufata sheria za nchi ili kujiepusha na matatizo mbalimbali yanayoweza kuwakabili.

Matangazo

  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • "Wananchi Tushirikiane kutokomeza ukatili wa Kijinsia" Rc Homera

    December 02, 2022
  • Wakuu wa Wilaya Mbeya wasaini Mkataba wa Afua za Lishe

    October 11, 2022
  • RC HOMERA AWATAKA ASKARI WA BARABARANI KUWACHUKULIA HATUA MADEREVA WANAOKIUKA SHERIA.

    September 15, 2022
  • Mbeya Vinara Mchezo wa Mpira wa Miguu UMISETA NA UMITASHUMTA

    August 24, 2022
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.