• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ataka Viongozi Kuacha Ubabaishaji

Imetumwa : June 12th, 2019

Na Godfrey Kahango                                                                        

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Albert Chalamila amesema viongozi waliopewa dhamana kuisimamia Serikali wakiacha ubabaishaji na kuendekeza rushwa na ufisadi, dhamira ya Rais John Magufuli kuwa Paris huduma nzuri wananchi itafanikiwa.

Mhe Chalamila ametoa kauli hiyo leo Jumatano Juni 12, 2019 baada ya kukagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Mbeya inayojengwa eneo la Inyala huku akiridhishwa na kazi ya Ujenzi huo uliogharimu sh. 1.5 bilioni.                                                               

“Magufuli ana dhamira nzuri na kubwa kwa Watanzania. Lakini niseme sisi viongozi aliotuamini tukiwa ‘wasabi’ katika kutekeleza maazimio yake hatutamuwakilisha vizuri”. 

“Lakini tukiacha ‘usanii’ na kuweka kando ufisadi na rushwa tutamwakilisha vyema katika kuwahudumia wananchi wetu ,” Amesema Mhe Chalamila 

Amebainisha Ujenzi wa hospitali tatu za Halmashauri ya Mbarali, Busokelo na Mbeya pamoja na Vituo vya Afya 14 utagharimuzaidi ya sh. bilioni 11.2, kubainisha kuwa unaendana na a hizo la Serikali kutaka hospitali zote ziwe zimekamilika kabla ya Juni 30, 2019 

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Steven Katembo amesema kiasi hi hicho cha fedha kimetumika kujenga majengo saba ya hospitali hiyo lakini sh milioni 60 zilitolewa na halmashauri yake zitajenga majengo mengine mawili ambayo ni nyumba za watumishi. 

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Paul Ntinika amesema kukamilika na kuanza kutumika kwa hospitali hiyo kutakuwa msaada kwa zaidi ya wananchi wa maeneo  hayo na maeneo ya Jirani.


Matangazo

  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • "Wananchi Tushirikiane kutokomeza ukatili wa Kijinsia" Rc Homera

    December 02, 2022
  • Wakuu wa Wilaya Mbeya wasaini Mkataba wa Afua za Lishe

    October 11, 2022
  • RC HOMERA AWATAKA ASKARI WA BARABARANI KUWACHUKULIA HATUA MADEREVA WANAOKIUKA SHERIA.

    September 15, 2022
  • Mbeya Vinara Mchezo wa Mpira wa Miguu UMISETA NA UMITASHUMTA

    August 24, 2022
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.