• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Miradi ya Sh Bilioni 26 Kutembelewa na Mbio za Mwenge wa Uhuru 2019

Imetumwa : September 3rd, 2019

MIRADI 59 yenye thamani ya Sh bilioni 26.3 itatembelewa wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani Mbeya.

Kati ya hiyo, 13 itazinduliwa na mingine kuwekewa jiwe la msingi na baadhi kukabidhiwa kwa walengwa.

Akizungumza jana wakati wa makabidhiano ya mbio hizo katika Kijiji cha Kambikatoto, Wilaya ya Chunya, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila alisema miradi hiyo yote, fedha za Serikali zilizotumika ni Sh bilioni 20.5, nguvu za wananchi Sh bilioni 2.1 Mfuko wa Jimbo Sh milioni 28.5 na fedha za wahisani Sh bilioni 2.3.

Katika mbio hizo ambazo ujumbe wa mwaka huu ni “maji ni haki ya kila mtu, tutunze vyanzo vyake na tukumbuke kushiriki Uchaguzi wa Serikali za mitaa”, baadhi ya miradi imewekewa jiwe la msingi na kuzinduliwa Wilaya ya Chunya.

Miradi hiyo ni pamoja na kufunguliwa katika Kijiji cha Lupa, kuweka jiwe la msingi Kijiji cha Ndalambo, nyumba ya walimu na shule ya sekondari Momba.

Mingine ni kuweka jiwe la msingi vyumba vya maabara Shule ya Sekondari ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na kuzindua huduma ya umeme Kijiji cha Chipaka.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Mzee Ali Mkongea alisema Serikali imejitahidi kuwekeza katika miradi, hivyo wananchi wanatakiwa kuendelea kuitunza.

Mkongea alisema Serikali imeweza kutoa fedha katika ujenzi wa vituo vya afya na utoaji elimu bure ili kuweza kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora kwa lengo la kuijenga nchi.

Alisema wananchi wanatakiwa kujitokeza katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu ili kuwapata viongozi bora watakaosaidiana na Serikali kuleta maendeleo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC Homera atoa siku 14 Tarura kupata Mkandarasi Mpya

    February 23, 2023
  • WAZIRI DKT MABULA AZINDUA MPANGO KABAMBE WA JIJI LA MBEYA

    February 21, 2023
  • WATOTO 5,236 WAPANGIWA VYUO MBALIMBALI VYA UFUNDI MKOANI MBEYA

    February 06, 2023
  • "Wananchi Tushirikiane kutokomeza ukatili wa Kijinsia" Rc Homera

    December 02, 2022
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa