• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mbeya Regional Education Forum

Imetumwa : April 5th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla amewapongeza wadau wa Elimu waliojitokeza katika Kongamano la Elimu Mkoa lililofanyika kwa ajili ya kuinua ufaulu na elimu bora katika shule za Msingi na Sekondari kwa kutoa changamoto ambazo zitasaidia Serikali.

Akiongea katika Kongamano hilo Mhe. Makalla amesema lengo la kongamano ni kujadili kwa uwazi changamoto za elimu Mkoa wa Mbeya na namna ya kupambana nazo ili kuwe na Elimu bora kwa wanafunzi na kuwa na watu wataalamu wanaotoka katika Mkoa wa Mbeya.

Akielezea Changamoto zinazosababisha ushukaji wa ufaulu hasa kwa Shule za Msingi amesema kuwa kuna haja ya kuboresha upatikanaji wa Chakula shuleni. Wazazi wanatakiwa kujitoa kuhakikisha kuwa watoto hawashindi na njaa shuleni. Amesema kuwa Utafiti wa unaonyesha kuwa watoto wanaelewa masomo vizuri wakiwa wameshiba.

Aidha, Mhe. Makalla amesema kuwa upungufu hosteli za unasababisha wanafunzi kutumia muda mwingi barabarani na kuwaweka katika mazingira hatarishi wanafunzi wa kike na kusababisha.  Ni jukumu la Viongozi wa Siasa na Serikali kuishawishi jamii umuhimu wa kuwa na hosteli katika shule za Mkoa wa Mbeya na kuhamasisha wananchi  kuchangia kwa nguvu ujenzi wa hosteli bila kujali itikadi za kisiasa.

Wakichangia hoja katika kongamano hilo wadau wa elimu Mkoani Mbeya wameishauri Serikali ya Mkoa kuwapa motisha walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri katika mitihani yao ikiwa ni pamoja na halmashauri kutenga fedha za mapato yao ya ndani. Hii itasaidia kuleta Ushindani wa walimu na wanafunzi katika taaluma.

Walimu wana changamoto zao zisipotafutiwa ufumbuzi zitarudisha nyuma elimu. Hakuna uhusiano mzuri kati ya Viongozi wa Elimu na walimu na kuwalipa madeni walimu yanaohusiana na halmashauri ambayo yapo ndani ya uwezo wao.

Naye Kaimu Meya wa Halmashauri ya Jiji Mhe. Lucas Mwampiki amesema kuwa kuna mahusiano duni kati ya walimu na jamii. Wazazi hawapo tayari kufika shuleni kupata taarifa za maendeleo ya watoto wao shuleni ambapo unawakatisha tamaa walimu,

Mhe. Mwampiki amesema kuwa wazazi wanatakiwa kukaa pamoja na watoto wao kujua matatizo yao ambayo watoto hawawezi kuwaambia watu wengine wa kuwasaidia. Ukatili wa wazazi unasababisha kupunguza uelewa wa wanafunzi darasani.

Naye Mdau wa Elimu Mkoa wa Mbeya Ndugu Ipini wa Ipini ameshauri Serikali ya Mkoa kuandaa Mfuko wa Elimu na kuweka utaratibu mzuri wa utumiaji wa fedha hizo. Wananchi wanatakiwa kuhamasishwa kuchangia masuala ya elimu kama wanavyochangia shughuli nyingine za kijamii.

Mkoa wa Mbeya umekuwa ukifanya vibaya katika matokeo ya kumaliza Elimu ya Msingi kutoka 2014 hadi sasa na hivyo kumfanya Mkuu wa Mkoa kuandaa kongamano hili kwa ajili ya kutafakari kwa uwazi na kujua changamoto za Elimu

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC Homera atoa siku 14 Tarura kupata Mkandarasi Mpya

    February 23, 2023
  • WAZIRI DKT MABULA AZINDUA MPANGO KABAMBE WA JIJI LA MBEYA

    February 21, 2023
  • WATOTO 5,236 WAPANGIWA VYUO MBALIMBALI VYA UFUNDI MKOANI MBEYA

    February 06, 2023
  • "Wananchi Tushirikiane kutokomeza ukatili wa Kijinsia" Rc Homera

    December 02, 2022
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa