• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Makalla awataka Wananchi Kufanya Shughuli za Maendeleo

Imetumwa : December 30th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos  Makalla  amewataka wananchi wa Kata ya Iyela  kuacha Siasa ili waweze kupeleka maendeleo ya ujenzi wa madarasa katika Kata zao.

Mhe. Makalla ameyasema hayo alipokuwa akikabidhi mifuko 100 ya sementi  shule ya msingi Iyela kwa ajili ya ujenzi wa madarasa.

Mhe  Makalla amewataka wazazi  kuwa na ushirikiano na Serikali ili kuweza kumaliza tatizo la upungufu wa madarasa  katika shule za Msingi na Sekondari Mkoani Mbeya.

Amesema kuwa viongozi wa Kata kuacha urasimu wa matumizi ya mifuko ya simenti na kuhakikisha inatumiwa  ipasavyo kwa matumizi yalioainishwa.

Mdau wa Elimu Mkoa wa Mbeya Be. Ndele Mwaselela ameahidi kutoa mabati  kwa ajili ya madarasa mawili  na matofali 1000 kwa ajili ya kuendekeza ujenzi wa madarasa katika Shule  ya Msingi  Iyela.

Bw. Mwaselela amewaomba wananchi kuendelea kuchangia mchango wa ujenzi wa shule na kuahidi kuendesha zoezi la uchangishaji katika kata hiyo.

Aidha, Bw. Mwaselela amemahidi Mhe. Makalla ushirikiano wa kutosha kutoka kwa wadau wa elimu Mkoa wa Mbeya pale changamoto za masuala ya elimu yatakapojitokeza.

Matangazo

  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC HOMERA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA KANDA MBEYA

    September 18, 2023
  • RC HOMERA ATEMBELEA KITUO CHA STAREHE NA BURUDANI MBEYA( MBEYA CITY PARK)

    September 17, 2023
  • RC HOMERA AWATUNUKU TUZO NA VYETI WAKIMBIZA MWENGE KITAIFA 2023

    September 14, 2023
  • KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AZINDUA MRADI WA MAJI KIBAONI MBARALI

    September 11, 2023
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa