• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kyela Education Forum

Imetumwa : May 15th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla amewapongeza viongozi wa Wilaya ya Kyela na Wadau wa Elimu kwa kuweza kuandaa Kongamano la Elimu lililofanyika kwa ajili ya kuinua ufaulu na elimu bora katika shule za Msingi na Sekondari kwa kutoa changamoto ambazo zitasaidia Serikali Wilaya ya Kyela.

Akiongea katika Kongamano hilo Mhe. Makalla amesema lengo la kongamano ni kujadili kwa uwazi changamoto za elimu Wilaya ya Kyela na namna ya kupambana nazo ili kuwe na Elimu bora kwa wanafunzi na kuwa na watu wataalamu wanaotoka katika Halmashauri hiyo.

Akielezea Changamoto zinazosababisha ushukaji wa ufaulu hasa kwa Shule za Msingi amesema kuwa kuna haja ya kuboresha upatikanaji wa Chakula shuleni. Wazazi wanatakiwa kujitoa kuhakikisha kuwa watoto hawashindi na njaa shuleni. Amesema kuwa Utafiti wa unaonyesha kuwa watoto wanaelewa masomo vizuri wakiwa wameshiba.

Aidha, Mhe. Makalla amesema kuwa upungufu hosteli za unasababisha wanafunzi kutumia muda mwingi barabarani na kuwaweka katika mazingira hatarishi wanafunzi wa kike na kusababisha.  Ni jukumu la Viongozi wa Siasa na Serikali kuishawishi jamii umuhimu wa kuwa na hosteli katika shule za Mkoa wa Mbeya na kuhamasisha wananchi  kuchangia kwa nguvu ujenzi wa hosteli bila kujali itikadi za kisiasa.

Akiwasilisha Taarifa ya Elimu Wilaya ya Kyela Afisa Elimu Msingi Bw. Palemone Ndarugiliye amesema kuwa kiwango cha elimu Wilayani Kyela kimekuwa kikipungua toka mwaka 2014 ambapo ufalu kwa Shule za Msingi kwa Mtihani wa Darasa la Saba.

Bw. Ndarugiliye amesema kuwa ufaulu kwa upande wa Sekondari umeporopoka kuanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2016 ambapo changamoto kubwa ikiwa ni upungufu wa walimu, utoro na wazazi kutokuwa tayari kuwajibika kufuatilia maendeleo ya watoto wao na kutotoa ushirikiano wa kutosha kwa walimu.

Wakichangia hoja katika kongamano hilo wadau wa elimu Wilaya ya Kyela wameishauri Serikali ya Wilaya kuwapa motisha walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri katika mitihani yao ikiwa ni pamoja na halmashauri kutenga fedha za mapato yao ya ndani. Hii itasaidia kuleta Ushindani wa walimu na wanafunzi katika taaluma.

Pia wadau wameishauri Halmashauri kutatua changamoto zinazo wakabili walimu ikiwepo kulipa madeni yao na pia kuagawa ikama ya walimu kwa kuzingatia uhitaji wa shule husika katika halmashauri ili kupunguza upungufu wa walimu katika maeneo mengine.

Mkoa wa Mbeya umekuwa ukifanya vibaya katika matokeo ya kumaliza Elimu ya Msingi na Se kutoka 2014 hadi sasa na hivyo kumfanya Mkuu wa Mkoa kushauri Wilaya kuandaa makongamano kwa ajili ya kutafakari kwa uwazi na kujua changamoto za Elimu

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa