• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Hati Yenye Mashaka Chunya, RC Atoa neno

Imetumwa : June 9th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Homera amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Chunya kuwasimamisha kazi na kuwachukulia hatua Watendaji wa Kata 7 kwa tuhuma za kusababisha upotevu wa zaidi ya sh. Milioni 400 ambazo ni mapato ya ndani ya halmashauri mpaka watakaporudisha fedha hizo.

Mhe Homera ameongea hayo leo tarehe 09 Juni, kwenye kikao cha watumishi wa halmashauri hiyo na kusikitishwa na hali duni ya ukusanyaji wa mapato na upotevu wa mapato hayo kutoka kwa watendaji wa halmashauri

“ Sasa nakuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri kuwasimamisha hawa watendaji wote waliosababisha halmashauri kupata hati yenye mashaka kwa wao kukaa na fedha bila kuzipeleka benki kama utaratibu na kanuni zinavyotaka” Mhe  Homera

Amesema kuwa watendaji wa kata kwa kushirikiana na watendaji wanatumia fedha mbichi za halmashauri ambazo hazikupelekwa benki baada ya kukusanywa kutoka maeneo mbalimbali kinyume na kanuni na taratibu za halmashauri hiyo.

Aidha, Akiongea kwenye kikao hicho Katibu Tawala wa Mkoa Dkt Angelina Lutambi amewataka wataalamu hao kufanya kazi kwa weledi wakizingatia taratibu na kanuni za serikali na pia kufanya kazi ya kukusanya mapato kwa kushirikiana kuanzi idara ambazo vina vyanzo vya mapato ili yakusanywe kikamilifu.

“Suala la ukusanyaji wa mapato ni la lazima kwa kuwa Serikali ina majukumu makubwa ya kuwahudumia watumishi, kuhakikisha huduma zote zinatolewa na wananchi wananufaika na pia kuendesha serikali kwa hiyo ni wajibu wetu kuhakikisha tunakusanya mapato kikamilifu” Dkt Lutambi

Dkt Lutambi ameagiza kila Mkuu wa Idara kuhakikisha anapitia vyanzo vyote vilivyopo kwenye Idara yake na kuhakikisha anavisimamia na kukusanya mapato kwa kushirikiana na maafisa mapato wa halmashauri.

Naye Mbunge wa Jimbo la Lupa Masache Kasaka amesema kuwa halmashauri lazima iangalie imekosea wapi kuweza kujua wapi imejikwaa na pia amewataka watumishi wa halmashauri kutimiza wajibu wao kwenye kila Idara katika kusimamia ukusanyaji wa mapato ilituweze kutoka hapa tulipo.\

Matangazo

  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • "Wananchi Tushirikiane kutokomeza ukatili wa Kijinsia" Rc Homera

    December 02, 2022
  • Wakuu wa Wilaya Mbeya wasaini Mkataba wa Afua za Lishe

    October 11, 2022
  • RC HOMERA AWATAKA ASKARI WA BARABARANI KUWACHUKULIA HATUA MADEREVA WANAOKIUKA SHERIA.

    September 15, 2022
  • Mbeya Vinara Mchezo wa Mpira wa Miguu UMISETA NA UMITASHUMTA

    August 24, 2022
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.