• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Uchimbaji Madini

SEKTA YA MADINI

UTANGULIZI     

Ofisi ya Madini Kanda ya Kusini Magharibi (inayojumuisha Ofisi ya Madini-Mbeya pamoja na Ofisi ya Afisa Mkazi wa Madini-Chunya) ni moja kati ya Ofisi kumi (10) za Kanda zinazosimamia shughuli za madini nchini Tanzania. Ofisi hii inasimamia shughuli za madini katika mikoa ya Mbeya na Iringa.

Majukumu ya Ofisi ni usimamiaji wa Sheria ya Madini ya Mwaka 2010 na Kanuni zake za Mwaka 2010 pamoja na usimamizi wa Sheria ya Baruti ya Mwaka 1963 na Kanuni zake za Mwaka 1964. Miongoni mwa shughuli hizo zinazofanywa kwa mujibu wa sharia tajwa hapo juu ni pamoja na ukaguzi wa migodi mikubwa na midogo, ukaguzi wa maghala ya baruti, utoaji wa leseni mbali mbali ambazo ni uchimbaji, biashara ya madini na zinazohusiana na masuala ya baruti pamoja na ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali yatokanayo na shughuli za madini.

Vilevile, Ofisi hutoa mafunzo mbalimbali ya uchimbaji salama, utunzaji wa mazingira pamoja na biashara ya madini kwa wachimbaji waliopo katika Kanda.

  •  
  • MADINI YAPATIKANAYO 

Tafiti mbalimbali zimebaini uwepo wa madini mbalimbali katika Kanda. Baadhi ya madini hayo ni Dhahabu, Niobium, Makaa ya Mawe, Chokaa, Shaba, Travetine, n.k.

  • UTOAJI WA LESENI NA VIBALI MBALIMBALI

Kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015, Jumla ya leseni 136 za uchimbaji mdogo, leseni 2 za biashara kubwa ya madini (Dealer’sLicence) pamoja na leseni 31 za biashara ndogo ya madini (BrockersLicence) zimetolewa.

Vilevile, vibali 16 vya kulipua baruti (BlastingCertificates) pamoja na vibali vya kusafirishia na kununua baruti 28 (Licencetopurchase/AcquireExplosives) vilitolewa.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC Homera atoa siku 14 Tarura kupata Mkandarasi Mpya

    February 23, 2023
  • WAZIRI DKT MABULA AZINDUA MPANGO KABAMBE WA JIJI LA MBEYA

    February 21, 2023
  • WATOTO 5,236 WAPANGIWA VYUO MBALIMBALI VYA UFUNDI MKOANI MBEYA

    February 06, 2023
  • "Wananchi Tushirikiane kutokomeza ukatili wa Kijinsia" Rc Homera

    December 02, 2022
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa