• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Naibu Spika akabidhi Jengo la Upasuaji

Imetumwa : March 6th, 2018

Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson amekabidhi mradi wa jengo
la upasuaji katika kituo cha Afya Ruanda lililokarabatiwa
na Taasisi ya Tulia Trust kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Amos Makalla
lililogharimu Sh. milioni 40.


Dkt Tulia amekabidhi jengo hilo katika ziara yake mkoani hapa
sambasamba na kukagua ukarabati wa mradi huo na kuzungumza na
wananchi na wagonjwa waliofika kupata matibabu katika kituo hicho.

Amesema katika kuunga mkono jitihada za Serikali taasisi yake
imelenga kuboresha huduma muhimu hususan afya, hususan huduma ya
wakinamama wajawazito na watoto katika vituo vya afya na zahanati.

"Mkuu wa Mkoa nakupongeza kwa jitihada zako mpaka kufikia hatua za
mwisho za kusimamia mradi huu sasa ninaomba changamoto za mahitaji
madogo yaliyopo yafanyiwe kazi ili huduma za upasuaji zianze
kutolewa"amesema.

Mkuu wa Mkoa Amos Makalla, alisema kuwafuatia Serikali imetoa Sh 700
milioni kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya kisasa katia kituo cha afya
Ruanda pamoja na vifaa tiba.


"Naibu Spika ukarabati wa chumba cha upasuaji imekuwa chachu kwa
serikali na sasa imetoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya kisasa
katika kituo hiki kwa kweli unatupa moyo sana kama viongozi wa
Mkoa"amesema.

Aidha ameagiza halmashauri ya jiji kupitia mapato yake ya ndani kutoa
fedha kwa ajili ya kumalizia baadhi ya mahitaji katika chumba cha
upasuaji ili kianze kutoa huduma kwa wananchi.


"Natoa wiki mbili ukarabati huu uwe umekamilika na huduma zianze
kutolewa mapema iwezekanavyo"amesema.




Mganga mfawidhi katika kituo hicho, Elioth Sanga alisema wametenga
Sh 55 milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya upasuaji.

Kwa upande wa Mdau wa Mendeleo Mkoani hapa, Ndele Mwaselela alisema
anaumba mkono jitihada za serikali katika kuhakikisha wanaboresha afya
za msingi kwa kuchangia miradi ya maendeleo hususan elimu na afya.

Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2019 October 17, 2019
  • Fomu za Kujiunga na Kidato cha Tano 2019 June 10, 2019
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2019 Mkoa wa Mbeya. December 17, 2018
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2018 January 24, 2019
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Usuluhishi wa Mgogoro wa Ardhi kati ya Wananchi wa Kijiji cha Nanyara na Kiwanda cha Songwe

    November 02, 2019
  • Miradi ya Sh Bilioni 26 Kutembelewa na Mbio za Mwenge wa Uhuru 2019

    September 03, 2019
  • Waziri Mkuu Mstaafu Mh Pinda Afunga Maonesho ya Nanenane Mbeya

    August 08, 2019
  • Waitara Azindua Maonesho ya NaneNane Mbeya

    August 03, 2019
  • Tazama Zaidi

Video

Viongozi watakiwa kuwa wasafi
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Bajeti ya Mkoa wa Mbeya 2018/2019
  • Mpango wa Bajeti 2018/2019
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa
  • OPRAS Fomu
  • Maoni na Malalamiko
  • Mwongozo Uwekezaji Mkoa wa Mbeya
  • Mafanikio ya TASAF

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 022 253034

    Simu ya Mkononi: 255 784838650

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.