• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mbeya Waadhimisha Siku ya Uhuru kwa Kupanda Miti

Imetumwa : December 9th, 2020

Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imesema kuwa itafanya ufuatiliaji wa matunzo ya miche 100 iliyopandwa katika Shule ya Msingi Magufuli Mchepuo wa Kiingereza.

Kamishna Msaidizi wa uhifadhi Kanda ,Cosmas Ndakidemi amesema leo Desemba, 9 katika maadhimisho ya siku ya uhuru na kwamba jumla ya miche 1,000 imepandwa katika wilaya za Mkoa wa Mbeya.

Ndakidemi amesema kuwa kwa leo wamepanda miti 100 katika shule ya Msingi Magufuli ikiwa ni uzinduzi wa ugawaji wa miche bure kwa wananchi lengo ni kuhakikisha mazingira ya Jiji la Mbeya na makazi ya wananchi yanatunzwa na kuwa kijani.

"Miche hii tumetoa bure na tunakaribisha mashirika taasisi kujitokeza kuchukua na kupanda lengo ni kuweka mazingira ya Jiji la Mbeya katika hali ya kijani na hadhi ya Green city kama miaka ya nyuma na kuhamasisha jamii kuitunza "amesema.

Aidha amesema kuwa pia TFS watafanya ufuatiliaji wa hali ya ukuaji wa miche kila wakati ili kuboresha mvuto wa mazingira katika shule hiyo.

Akizunguzma mara baada ya kupanda miche ya miti 100 katika Shule hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila, amewaagiza walimu wa shule hiyo kila mmoja kupanda miche ya matunda na kubandika kibao chenye utambulisho wa jina la

"Nimetoa agizo hilo kwa makusudi nahitahi mnapozungumzia afya bora na ulaji wa matunda uende kwa vitendo watoto wanapokuwa shule muda wa mapumziko Wale matunda kwa wingi ikiwa ni pamoja na mbogamboga "amesema.


Aidha kwa upande mwingine ameitaka jamii kuwa na utaratibu wa kutenga maeneo ya kilimo cha mbogamboga na matunda kwa kutambua kuwa afya ya binadamu inalinda na ulaji wa mboga na matunda .


Pia ametumia fursa hiyo kuonya wazee wanaiongiza migogoro ya ardhi wakati serikali inawekeza miradi ya Maendeleo hususan ujenzi wa shule za kisasa michepuo ya kiingereza.


"Kuna wazee hapa mjini wanaishi kwa utapeli na kupora maeneo ya wazi sasa nitanyooka na nyinyi kikubwa tumieni busara kwani maendeleo tunayoleta ni kwa ajili ya watoto wenu.

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020 November 21, 2020
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Mbeya Yaja na Mkakati Mpya wa kupunguza Upungufu wa Vyumba Vya Madarasa

    December 09, 2020
  • Mbeya Waadhimisha Siku ya Uhuru kwa Kupanda Miti

    December 09, 2020
  • RC Aagiza Kuchunguza Upotevu wa 800M za Walimu

    December 04, 2020
  • Halmashauri zatakiwa Kutenga Fedha za Afua za VVU na UKIMWI

    December 01, 2020
  • Tazama Zaidi

Video

Viongozi watakiwa kuwa wasafi
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Wasifu wa Mkoa wa Mbeya 2015
  • Mpango Mkakati wa Mkoa 2018-2023
  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Mpango Mkakati wa Kuendeleza Sekta za Kilimo 2020 - 2025
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi: 255 784838650

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.