• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Madiwani Kyela Wapongezwa

Imetumwa : June 2nd, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Albert Chalamila amelipongeza Baraza la Madiwani kwa kazi nzuri wanayoifanya, pia kuongezeka kwa kiwango kikubwa cha ufaulu wa wanafunzi kuanzia darasa la saba asilimia 81.6% ya ufaulu, kidato cha nne 81% huku lengo ikiwa kufikia 90%. Kwa upande wa kidato cha pili kiwango cha ufaulu kimefikia 97%.  

Mhe Chalamila ameyasema hayo leo kwenye kikao maalumu Cha Baraza la madiwani la halmashauri ya Kyela kujibu hoja za mkaguzi mkuu wa serikali.  

Chalamila ambaye alikua mgeni rasmi.

Pia amewapongeza kwa kuendelea kupata hati zinazo ridhisha mfurulizo kutokana na madiwani kuendelea kua kitu kimoja na kudhibiti masuala ya rushwa.

Mkuu wa mkoa amewakumbusha madiwani kuendelea kubuni vyanzo vingine vya mapato ili kuongeza Wigo wa mapato katika halmashauri ya Kyela, Kutumia mashine za kielectronic katika ukusanyaji wa mapato ili kuepusha ubadhilifu katika ukusanyaji wa mapato. Pia amewataka kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha kulingana na makusanyo na kusisitiza kua njia mpya itakayotumika ni kila halmashauri itapata kiasi cha fedha kulingana na makusanyo yake.


 

Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Kyela wakiwa  kwenye kikao maalum cha kujadili hoja za mkaguzi wa hesabu za serikali.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 


 

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh. Albert Chalamila akifafanua jambo kwenye kikao hicho.

 

 

 

 

 

 


Mkuu wa wilaya ya Kyela Mh. Claudia Kitta akiongea kwenye kikao hicho.

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020 November 21, 2020
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Mbeya Yaja na Mkakati Mpya wa kupunguza Upungufu wa Vyumba Vya Madarasa

    December 09, 2020
  • Mbeya Waadhimisha Siku ya Uhuru kwa Kupanda Miti

    December 09, 2020
  • RC Aagiza Kuchunguza Upotevu wa 800M za Walimu

    December 04, 2020
  • Halmashauri zatakiwa Kutenga Fedha za Afua za VVU na UKIMWI

    December 01, 2020
  • Tazama Zaidi

Video

Viongozi watakiwa kuwa wasafi
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Wasifu wa Mkoa wa Mbeya 2015
  • Mpango Mkakati wa Mkoa 2018-2023
  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Mpango Mkakati wa Kuendeleza Sekta za Kilimo 2020 - 2025
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi: 255 784838650

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.