• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC Azitaka Kaya Zinazowezeshwa na TASAF Kufuga Mifugo ya Asili

Imetumwa : March 4th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune amezitaka kaya zote zinazowezeshwa na Mpango Taifa wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF) kujishughulisha na ufugaji wa Kuku pamoja na Bata wa asili kwani mifugo hiyo inastahimili magonjwa, soko lake ni kubwa na ufugaji wake hauna changamoto nyingi kama ilivyo kwa mifungo mingine.

Mhe. Mfune ameyasema hayo siku ya tarehe 02/03/2021 alipofanya ziara ya kuzitembelea kaya hizo katika Kata ya Ubaruki Kijiji cha Mpakani ili kusikiliza kero zinazowakabili sambamba na kujionea hatua za maendeleo walizofikia mara baada ya kuwezeshwa na mfuko huo.

“Kikubwa kilichonileta ni kuja kuwatembelea na kuwapa salamu za Serikali. Serikali itaendelea kuwawezesha kwani kwa kiasi kikubwa wale wote ambao wamekuwa wakitumia fursa hii vizuri, wameendelea kufanya vitu vikubwa zaidi. Endeleeni kujifunza na kutafuta shughuli nyingine, kwani kufanya hivyo kutawafikisha mbali.”

“Nimefurahi kuona mafanikio yenu, kila mtu kuna hatua ambayo amepiga, kuna wengine wamekarabati nyumba zao, wengine wanafuga mifugo na wengine wanajihusisha na ujasiriamali mdogo mdogo.”

“Changamoto ya magonjwa ya mifugo tutuwasaidia sababu wataalumu wapo. Kuhusiana na changamoto ya wizi nakwenda kulifanyia kazi, na nikiwa nalifanyia kazi muendelee kujilinda. Kwa wale ambao wana maeneo ya kutosha mujaribu kujiwekea wigo za maua, miba au hata tofari kwenye nyumba zetu.” Alisema Mhe Mfune

Naye mwenyekiti wa kijiji cha Mpakani Bwana Amos Mgongolwa amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kwenda kuwatembelea, kusikiliza changamoto pamoja na kujionea mafanikio waliyofikia wanufaika wa kijiji cha Mpakani ambao wanawezesha na mfuko wa TASAF.

Wanufaika wa mfuko huo wamemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuwatembelea kwani kufanya hivyo kumewaongezea ari ya kufanya vizuri zaidi na wameahidi kufanyia kazi ushauri pamoja na maelekezo waliyopewa ili waweze kusonga mbele.

Matangazo

  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi wa Kidato Cha Tano Tarajiwa na Vyuo vya Kati March 29, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • DC Azitaka Kaya Zinazowezeshwa na TASAF Kufuga Mifugo ya Asili

    March 04, 2021
  • Matema Wanufaika na Maboresho ya Mradi wa Maji

    February 24, 2021
  • Wananchi Watakiwa Kulinda Miundombinu ya Maji

    March 23, 2021
  • RC Apiga Marufuku Matangazo ya Misiba Barabarani

    February 22, 2021
  • Tazama Zaidi

Video

RC Atoa Onyo Kuelekea Uchaguzi
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Wasifu wa Mkoa wa Mbeya 2015
  • Mpango Mkakati wa Mkoa 2018-2023
  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Mpango Mkakati wa Kuendeleza Sekta za Kilimo 2020 - 2025
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi: 255 784838650

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.